Sunday, April 8, 2012

USIPOTEZE!!!

Ukijua thamani ya kitu hutothubutu kukipoteza.
Lakini mara nyingi watu hugundua thamani ya wanavyovimiliki wakiwa wamechelewa sana na hawako navyo tena.
Zoea kutafakari kabla ya kutupa karatasi unalodhani ni uchafu, na hakika hutaweza kupoteza kitu cha thamani katika maisha yako.
Ni neno la hekima kwa waliobahatika kuwa na vichwa vya kuelewa mambo! Ignas

No comments:

Post a Comment