Friday, November 20, 2009
Saturday, November 14, 2009
MKOREA wa Filamu Tz!
Huyu anaitwa Park Doeng I, raia wa Korea ambaye amejitolea kuwasaidia wadau wa filamu Tanzania ili zipatikane filamu zenye ubora na viwango vya kimataifa, na ameanza na kikundi cha Safari Arts cha NIT, Dar. Hapa anaonyesha udugu kwa kum'beba mtoto wa kiswahili, tena mgongoni. Umeiona saa ya huyo mtoto?
Monday, November 9, 2009
Mtanashati!
Anti Ezekiel
Subscribe to:
Posts (Atom)