Suala sio tu kumkumbuka mzee huyu, wote tunamkumbuka. Tunamkumbukaje? hilo ndilo haswa tunalotakiwa kujiuliza katika nafsi zetu.
Wengi wanajidai kumfuata ili tu wapate muonekano mzuri mbele ya jamii ya watanzania, lakini moyoni mna yenu machafu!
Kama kweli mnamkumbuka hebu testini kurudisha
AZIMIO LA ARUSHA!