Wako ambao tumewazoea kwa utanashati, mfano ni huyu bro anaitwa Tino. Lakini sasa kila muigizaji wa kiume anajitahidi kwa 'mapouda' akiigiza muvi. Tunajua kuwa filamu ni kwa ajili ya kuonyesha maisha asilia, je katika uhalisia wanaume wa kibongo ni watu wa mapouda?
Monday, November 9, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment