Huyu anaitwa Park Doeng I, raia wa Korea ambaye amejitolea kuwasaidia wadau wa filamu Tanzania ili zipatikane filamu zenye ubora na viwango vya kimataifa, na ameanza na kikundi cha Safari Arts cha NIT, Dar. Hapa anaonyesha udugu kwa kum'beba mtoto wa kiswahili, tena mgongoni. Umeiona saa ya huyo mtoto?
Saturday, November 14, 2009
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment