Saturday, July 18, 2009

LINI TENA?

Mh. Bendera, Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo akitoa Tuzo ya filamu bora kwa mwaka 2008.
Mzee Bawji, Wakurugenzi Octa na Galus wakiwa na Richard wa BBA II na Kanumba 'the Great'


Anko Richie wa UDSM akimtuza Emanuel (Kulia) huku Kanumba akishuhudia


Regina Dundelova (Kulia) wa EU Film Festival 08 akiwa kwenye Vinara 08


Jaji Cuthbert Kabunga (Kushoto) toka CMK Production akimkabidhi Tuzo Mpiga Picha bora, Rashid Mrutu




No comments:

Post a Comment