skip to main |
skip to sidebar
Eti huyu kawa Afande..
Katika msako wa kumtafuta KUVETA, huyu jamaa alikuwa front kama Ditektive Lawrence. Hilo ni muvi moja hivi la 5 Effect ambalo wamekamua mastaa kibao, Big, Baba Haji, Mashaka, Bi Hindu, Kingwendu, Mkwere, Mzee Korongo, Mzee Msisi wa Msisiri na wengine kibao tu. SIJUI WATALIITAJE MUVI HILO kwa kuwa jina lake la awali (jina kapuni) kuna watu washaliigizia.
No comments:
Post a Comment